JINSI YA KUFANYA UNAPOKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA GHAFLA - MRS. BENSON

Post Top Ad

Saturday, 16 September 2017

demo-image



UNAWEZA KUPATA STORI ZETU MOJA KWA MOJA KWA KUBONYEZA 'LIKE' HAPA
rlx pb%2BApp
PUSH%2BBN%2B728%2BV1

KILIHOST%2BADS
« Piga 0652262137 kuweka tangazo lako hapa - Push kwa Buku tu »

JINSI YA KUFANYA UNAPOKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA GHAFLA

BewisaTV+Banner
KISA: Masanja na mke wake Saumu wameishi kwenye ndoa kwa miaka kumi sasa. Hapo awali, kila kitu kilikuwa sawa katika uhusiano wao, lakini katika miaka ya karibuni, Masanja amekuwa hana matamanio tena na Saumu; hana hamu kabisa ya tendo la ndoa.

LOV+sexability

FAHAMU: Tatizo kama hili la Masanja limekuwa likiwaathiri watu wengi hapa nchini na hata duniani kote. Mbaya zaidi haliwaathiri wanaume pekee kama ilivyo kwa Masanja, bali hata wanawake.

Utafiti uliofanyika nchini Uingereza, Ulaya na Marekani, ukijumuisha wanawake wa rika zote, ulibaini kuwa asilimia kati ya 30 na 50 ya wanawake wanakumbwa na tatizo la kukosa hamu ya kujamiiana.

Wakati huo utafiti huo ukiweka bayana hilo kutokana na tatizo la uzazi au kukoma kwa hedhi, tafiti nyingne zinaonyesha kuwa karibu robo tatu ya wanawake hawafikii kilele cha tendo hilo au wanapata maumivu. Nadhani unanielewa vizuri mtu wangu.

SASA TIBA IKO HIVI;
Wataalamu wa afya wanaeleza kuwa kukosa hamu ya tendo la ndoa kunatibika, iwapo hatua muhimu na za msingi zitachukuliwa.

Ni vyema kufika mapema katika huduma za afya ukiwa na mwenza wako kwa ajili ya uchunguzi na matibabu.

Nini suluhisho la kukosa hamu ya kujamiiana?

Kwanza kabisa, inashauriwa kitaalamu kubadilisha mfumo wa maisha kwa mfano, kubadili ratiba za kazi, matembezi au ratiba za wenza.

Kingine ni kufanya mazoezi mara kwa mara kwa sababu mazoezi huongeza ufanisi, lakini pia kupunguza uzito na humfanya mtu kuwa na umbile zuri, furaha na kuongeza ufanisi wakati wa kujamiiana.

Kupunguza msongo wa mawazo kwa kukubali kwamba tatizo lipo baina ya wanandoa na hivyo kutafuta suluhu pamoja na kuacha ugomvi. Matatizo ya kimaisha lazima yatafutiwe ufumbuzi.

Kufanya mazoezi ya misuli ya kiuno kwa kufanya kama unazuia mkojo wakati unahisi haja ndogo na kuhesabu kutoka moja hadi tano, baada ya tano pumzika na halafu rudia. Haya mazoezi (kegel exercise) huongeza uwezo wa kujamiiana kwa wanawake

Unaweza kufahamu mazoezi zaidi ya namna ya kufanya uume wako uwe na nguvu na pia uwe na hamu zaidi kwa kubonyeza HAPA.

Asante sana mdau.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *