MAJIBU: KWANINI MAHUSIANO YA VIJANA WENGI HUVUNJIKA? - MRS. BENSON

Post Top Ad

Tuesday, 5 September 2017

demo-image



UNAWEZA KUPATA STORI ZETU MOJA KWA MOJA KWA KUBONYEZA 'LIKE' HAPA
rlx pb%2BApp
PUSH%2BBN%2B728%2BV1

KILIHOST%2BADS
« Piga 0652262137 kuweka tangazo lako hapa - Push kwa Buku tu »

MAJIBU: KWANINI MAHUSIANO YA VIJANA WENGI HUVUNJIKA?

BewisaTV+Banner
LOV%252C+PamojaNa Benson Mmari
Hujambo mtu wangu? salaam za dhati zikufikie hapo ulipo, na nikushukuru sana kwa uamuzi wako wa kuperuzi kwa faida hapa Prince Bewisa, aidha kwa kupitia App au tovuti.

Leo tunakuja na kitu kipya zaidi na hii ni kwa upande wa mahusiano, haswa kwa vijana. 

Mara nyingi vijana wamekuwa wakipitia changamoto kadhaa kwenye mahusiano yao na wakati mwingine kuvunjika au kushindwa kudumu kwa mwanaume/mwanamke mmoja.
Sababu kuu za changamoto kama hizi ni pamoja na tabia ya mtu, kushindwa kuhimili kasoro, nguvu za giza, kukosa uelewa, kushindwa kuhimili mihemko/hasira, na nyinginezo.

Kubwa zaidi ninalotaka kuzungumzia, ni kuvunjika kwa mahusiano kwa sababu za kiimani/kiroho.

Watu wengi wamekuwa rahisi sana kuingia kwenye mahusiano na mtu yeyote bila kumkagua kiundani kuanzia kifamilia, yeye binafsi, lakini kubwa zaidi maisha yake ya kiroho na namna ambavyo mpenzi wake anahusiana na ardhi, miungu ya ukoo, wokovu wake, nini alichorithi, n.k

Wakati fulani nilikuwa nnamfanyia maombi binti mmoja na mapepo yalilipuka na alikuwa amefunga ndoa na majini, amezaa nayo, na mambo mengine ya kutisha.
Tafsiri unayoweza kuipata hapo ni kuwa, kama binti huyo angeolewa kabla hajaondoka kwenye vifungo hivyo, basi ndoa yake au mahusiano yake yasingedumu, au pia mumewe angekuwa kwenye hatari kubwa sana maana majini yale yangehakikisha mume yule anakufa ili yaendelee na mtu wao.

Ni muhimu sana mwanaume akawa makini na kufuatilia kwa msaada wa Mungu juu ya mke unayetaka kumuoa.

Ili kufahamu zaidi juu ya mke sahihi kibiblia, BONYEZA HAPA.

Unaweza pia kusoma njia nzuri za kibiblia za kumpata mwenzi wa maisha kwa kubonyeza HAPA.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *