Post Top Ad
Wednesday, 30 August 2017

UNAWEZA KUPATA STORI ZETU MOJA KWA MOJA KWA KUBONYEZA 'LIKE' HAPA ➞




« Piga 0652262137 kuweka tangazo lako hapa - Push kwa Buku tu »
Home
KAZI NA AJIRA
STAILI ZA MAISHA & SAIKOLOJIA
ZINGATIA YAFUATAYO KATIKA KUJENGA MSINGI IMARA WA NYUMBA YAKO
ZINGATIA YAFUATAYO KATIKA KUJENGA MSINGI IMARA WA NYUMBA YAKO
Oh, kamanda wangu asante sana kwa kuitembelea Prince Bewisa tena, aidha kwa App au Web, kongole likufikie ulipo.
Leo ndugu yangu, nimeona ni vema nikuandikie makala hii fupi sana itakayokupa funzo la mambo ya kuzingatia unapojenga msingi wa nyumba yako. Na hii inakuja baada ya kukuandikia juu ya mambo ya kuzingatia unaponunua kiwanja kwa ajili ya makazi.
Kwanza, kabla sijasonga mbele, ni vema ukafahamu kuwa kuna aina mbalimbali za misingi ya nyumba (foundation) na ili kuweza kuchagua msingi wa nyumba kunategemea vitu vingi sana, na moja wapo ni aina ya udongo uliopo kwenye eneo unalotaka kujenga nyumba (site) yako. Nyumba ambazo zinajengwa kwenye udongo dhaifu huitaji msingi wenye kina.
Hali ya hewa pia ni kitu cha muhimu kuzingatiwa, aina nyingine za msingi hushindwa kua imara sehemu zenye unyevu mwingi au baridi kali.
Aina ya nyumba unayotaka kujenga pia itategemeana na msingi. Kama ni Ghorofa basi msingi uwe imara wa kuweza kubeba uzito wa ghorofa hilo.
Ni vizuri kushauriana na wataalam wakati unataka kuweka msingi ili wakushauri ni aina gani au kiwango gani cha msingi kinachohitajika.
Shaloom!
Ili kupata Habari, Stori, na Makala zaidi na kwa njia rahisi, Install App yetu kwenye PlayStore. Tafuta PRINCE BEWISA, au
BONYEZA HAPA

TUAMBIE UNA MAONI GANI JUU YA HILI?
Facebook Plugin by
princebewisa
Tags # KAZI NA AJIRA # STAILI ZA MAISHA & SAIKOLOJIA
Share This

About Benson Mmari
Benson Mmari ni mwaandishi wa makala za mitandaoni akijikita zaidi katika kuelimisha kuhusiana na masuala ya Afya, Saikolojia, na Mahusiano - Kimwili na kiroho.
Ni mwanateknolojia aliyebobea kwenye kazi zake tangu mwaka 2012.
Newer Article
FAHAMU HAPA FAIDA ZA TENDE MWILINI
Older Article
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA UNAPOTAKA KUNUNUA KIWANJA KWA AJILI YA MAKAZI
SOMO: MAMBO UNAYOHITAJI KUYAJUA KUHUSU NDOTO UNAZOOTA ILI IWE VYEPESI KUFANIKIWA KIMAISHA. - SEHEMU YA 5
Benson MmariOct 07, 2017CHAKUFANYA IKIWA UMEOTA NDOTO AMBAYO HUJUI TAFSIRI YAKE. - MFULULIZO WA SOMO: MAMBO UNAYOHITAJI KUYAJUA KUHUSU NDOTO UNAZOOTA ILI IWE VYEPESI KUFANIKIWA KIMAISHA. - CHAKUFANYA IKIWA UMEOTA NDOTO AMBAYO HUJUI TAFSIRI YAK
Benson MmariOct 06, 2017SOMO: MAMBO UNAYOHITAJI KUYAJUA KUHUSU NDOTO UNAZOOTA ILI IWE VYEPESI KUFANIKIWA KIMAISHA. - SEHEMU YA 4
Benson MmariOct 05, 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment